Serikali iwekeze zaidi katika kutoa elimu juu ya namna ya kupambana na upungufu wa vitamini kwa njia nyepesi

Na Barnabas kisengi Mpwapwa March  10  2021 Vitamin A ni vitamin muhimu sana kiafya. Hii ni vitamin ambayo husaidia katika ujenzi wa tishu laini (kwenye misuli, kani na viungo vya ndani), tishu ngumu za mifupa na tishu zinazounda viwambo vya njia zinazohifadhi belaghami (mucas). Aidha afisa Lishe asunta amesema  vitamin A husaidia retina ya jicho kuzalisha