Na Barnabas kisengi Mpwapwa March 10 2021 Vitamin A ni vitamin muhimu sana kiafya. Hii ni vitamin ambayo husaidia katika ujenzi wa tishu laini (kwenye misuli, kani na viungo vya ndani), tishu ngumu za mifupa na tishu zinazounda viwambo vya njia zinazohifadhi belaghami (mucas). Aidha afisa Lishe asunta amesema vitamin A husaidia retina ya jicho kuzalisha
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed